Jengo la Ghorofa 6 Laporomoka Chuo Kikuu Cha Makerere na Kuua Watu 8 [ +PICHAZ ]

makerere (1)
Shughuli za uokoaji. makerere (1)Jengo kabla na baada ya kuporomoka. makerere (2)Jengo baada ya kuporomoka. makerere (3)Jengo lililoporomoka. makerere (4)
Majeruhi wa tukio hilo.makerere (5)Wananchi wakitaharuki eneo la tukio. makerere (6)Kwa mbali ni vumbi kali eneo la tukio. makerere (7)
Hali halisi ilivyokuwa.makerere (8)
Kyobe Rashid ni miongoni mwa walifariki dunia kutokana na ajali hiyo.
WATU wapatao 8 wameripotiwa kufariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya jengo la ghorofa sita lililoko karibu na Chuo Kikuu cha Makerere, Kampala nchini Uganda kuporomok.
Wanafunzi wa Chuo cha Makerere waliongea na EagleOnline kuwa, tukio hilo lilitokea jana Jumatatu April 11 mchana ambapo Jengo hilo la Kyaseka Towers lililopo barabara ya Makerere Hill karibu kabisa na chuo hicho liliporomoka baada ya kuzidiwa urefu kwa kuwa mmiliki wake aliamua kuongeza floor nyingine juu bila kibali kutoka mamlaka za ujenzi.
CHANZO: EagleOnline
TUPE MAONI YAKO HAPO CHINI
[MATUSI HAYARUSIWI]
Share on Google Plus
    Facebook Comment
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment