Taswira ya Jiji la DAR Baada ya Mvua Kunyesha Leo [ +PICHAZ ]

1
5
Magari yakionekana kupita kwa tabu.
2
3
Yakiendelea kupita kwenye madimbwi hayo.
4
Waendesha bodaboda wakipita eneo hilo.
 6
Bajaj ikipita eneo la barabara hiyo ilipochimbika.
Na Denis Mtima/Gpl
MVUA zinazoendelea kunyesha katika Jiji la Dar es Salaam na maeneo mengine zimesababisha uharibifu wa miundombinu ya barabara hususan barabara inayopita katika Kituo cha Polisi cha Kijitonyama ‘Mabatini’.
Kamera yetu imenasa picha zinazoonesha sehemu korofi hasa iliyoharibika na kuchimbika vibaya kama inavyoonekana
TUPE MAONI YAKO HAPO CHINI
[MATUSI HAYARUSIWI]
Share on Google Plus
    Facebook Comment
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment