Chanzo cha ajali ni uzembe wa dereva wa Scania kushindwa kulimudu gari alipokua barabarani. Mtuhumiwa wa ajali hiyo amekamatwa, pindi uchunguzi ukikamilika atafikishwa mahakamani kujibu mashitaka yanayo mkabili. Mwili wa marehemu upo hospitali ya rufaa ya Bugando kwa ajili ya uchunguzi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi AHMED Z. MSANGI anatoa wito kwa madereva kuwa makini wanapotumia vyombo vya moto ikiwa nipamoja na kufuata na kuheshimu sheria na alama za usalama barabarani ili kuepuka ajali zinazoweza kuepukika.
Lakini pia anatoa wito kwa watumiaji wengine wa barabara wakiwemo watembea kwa miguu nao wachukue tahadhari pindi wanapokua barabarani.
Imetolewa na:
SACP. AHMED MSANGI
KAMANDA WA POLISI (M) MWANZA
TUPE MAONI YAKO HAPO CHINI
[MATUSI HAYARUSIWI]
[MATUSI HAYARUSIWI]

0 comments:
Post a Comment