Ratiba ya Mechi za Leo na Kesho UEFA Champions League

32E9664600000578-3534837-image-a-1_1460410379406
Wachezaji wa Man City.
Mechi za Marudiano za Robo Fainali ya michuano ya Uefa zinaendelea tena leo Jumanne na jumatano kwa michezo minne, ambapo jumanne kutachezwa mechi mbili .
Mechi za leo Jumanne
Manchester City vs  Paris St-Germain Uwanja wa  Etihad
Bernabeu Real Madrid Vs VfL Wolf-sburg Uwanja wa Santiago 
Siku ya Jumatano Benfica watawakaribisha Bayern Munich ,na Atletico Madrid watakuwa wenyeji wa Barcelona.
TUPE MAONI YAKO HAPO CHINI
[MATUSI HAYARUSIWI]
Share on Google Plus
    Facebook Comment
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment