WATU wawili wanaodaiwa kuwa majambazi wamenaswa leo Kariakoo jijini
Dar es Salaam na kupewa kichapo ‘hevi’ kutoka kwa wananchi wenye hasira
kali waliokuwa eneo la tukio.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, majambazi hao wawili akiwemo
mmoja ambaye ni raia wa Kihindi wamekamatwa Mtaa wa Swahili na
Mchikichi, Kariakoo na wanadai raia huyo wa Kihindi anajulikana kwa jina
la Samir.
-via GPL
TUPE MAONI YAKO HAPO CHINI
[MATUSI HAYARUSIWI]
[MATUSI HAYARUSIWI]
0 comments:
Post a Comment