Majibu ya Mkurugenzi NHC Kuhusu Kudaiwa Kuingiza Siasa Kwenye Shirika Hilo

Baada ya Shirika La Nyumba la Taifa kupitia kampuni ya udalali kutoa samani mbalimbali katika jengo la Club Bilicanas na jengo lenye Ofisi ya Free Media kufuatia mmiliki wa ofisi hizo Freeman Mbowe kudaiwa kutolipa deni ambalo ilielezwa kuwa anadaiwa na shirika hilo.

Aidha hivi karibuni ziliripotiwa habari kuwa Mbowe amesema kinachofanyika ni siasa kwani wanafanya kama kumkomoa kwa sababu mara zote amekuwa mstari wa mbele kuikosoa serikali kuhusu hali ya siasa nchini.

Kupitia kipindi cha funguka kinachorushwa na kituo cha television cha Azam Tv, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu amejibu madai hayo kwa kusema……..
National Housing ninayoiongoza mimi haijawahi kusukumwa kwa mkono wa siasa, na tungekuwa tumesukumwa na mkono wa siasa tusingefanya haya tuliyoyafanya kwa muda mfupi, taasisi za serikali zimeshagusa machungu yetu, hata chama tawala idara yake makao makuu
TUPE MAONI YAKO HAPO CHINI
[MATUSI HAYARUSIWI]
Share on Google Plus
    Facebook Comment
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment