Mwili wa LIYUMBA Waagwa Jijini Dar [+PICHAZ]

1.Gari lenye mwili wa Amatus Lyumba ukiwasili leo mchana Nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar.Gari lenye mwili wa  marehemu ,Amatus Liyumba ukiwasili leo mchana Nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar.
2.Jeneza lenye mwili wa marehemu likishwushwa kwenye gari tayari kwa ajili ya kuingizwa nyumbani kwake.Jeneza lenye mwili wa marehemu likishushwa kwenye gari tayari kwa ajili ya kuingizwa nyumbani kwake.
3
4.Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers,Eric Shigongo( watatu kushoto) akishiriki kubeba jeneza lenye mwili wa Marehemu, Amatus Joachim Liyumba nyumbani kwake mikocheni.Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers, Eric Shigongo ( watatu kushoto) akishiriki kubeba jeneza lenye mwili wa Marehemu, Amatus Joachim Liyumba nyumbani kwake mikocheni.
5.Picha ya marehemu enzi za uhai wake.Picha ya marehemu enzi za uhai wake.
6.Baadhi ya waombolezaji wakiwa msibani hapo..Baadhi ya wanafamilia  wakiomboleza msibani hapo.
7.Wanakwaya wa kanisa la Romani waliotumbuiza msibani hapo.Wanakwaya  waliotumbuiza msibani hapo.
8.Jeneza lenye mwili wa marehemu,Liyumba.Jeneza lenye mwili wa marehemu,Liyumba.
9.
10Padri wa Kanisa la Mtakatifu Michael -Kawe jijini Dar, Fr. Nicholas Kundyaj akiendesha ibada fupi msibani hapo.Padri wa Kanisa la Mtakatifu Michael, Kawe jijini Dar, Fr. Nicholas Kundyaj akiendesha ibada fupi msibani hapo.
13.Baadhi ya waombolezaji wakipita pembeni ya jeneza kutoa heshma za mwisho.Baadhi ya waombolezaji wakipita pembeni ya jeneza kutoa heshma za mwisho.
14. Wakiendelea kupita pembeni ya jeneza. Wakiendelea kutoa heshima za mwisho
HATIMAYE mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi na Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania ( Bot), Amatus Liyumba, leo umeagwa katika nyumba yake iliyopo Mikocheni B, jijini Dar.
Akizungumza na GPL,  mpwa wa marehemu, Arbogasti Chiwembo,  alisema marehemu mjomba wake alifariki  Aprili 18,
mwaka huu  katika Hospitali ya Agha Khan kutokana na maradhi ya kisukari na shinikizo la damu.  Ameacha watoto saba  na mwili wake  utasafirishwa kesho alfajiri kuelekea Mahenge mkoani Morogogo kwa ajili ya mazishi. 

Marehemu Liyumba aliwahi kukabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya ofisi kati ya mwaka 2001 na 2006 wakati wa ujenzi wa majengo pacha ya makao makuu ya BoT, ambapo alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kuisababishia serikali hasara ya Shilingi bilioni 221.
 Habari :Gabriel Ng`osha na Denis Mtima/GPL
TUPE MAONI YAKO HAPO CHINI
[MATUSI HAYARUSIWI]
Share on Google Plus
    Facebook Comment
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment