Klabu ya Dar Es Salaam Young African ambayo inayofundishwa na kocha muholanzi Hans van der Pluijm, ilitangaza kumsamehe kiungo wake wa kimataifa wa Rwanda Haruna Niyonzima, baada ya awali kutangaza kumuondoa kikosini kwa kile kinachodawa kuwa ni utovu wa nidhamu.
TUPE MAONI YAKO HAPO CHINI
[MATUSI HAYARUSIWI]
[MATUSI HAYARUSIWI]
0 comments:
Post a Comment