Hatma ya Bosi wa Zamani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania ‘TRA’, Harry Kitilya na wenzake Kujulikana Kesho Mahakama Kuu

Rufani ya aliyekuwa Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania ‘TRA’, Harry Kitilya, Sioi Solomoni na aliyekuwa afisa mwandamizi benki ya Stanibic tawi la Tanzania ambaye pia ni mshindi wa taji la Miss Tanzania 1996, Shose Sinare imesikilizwa leo Mahakama kuu.

Upande wa utetezi umedai kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo kwa kuwa mahakama ya hakimu mkazi kisutu haikumaliza kusikiliza kesi hiyo lakini upande wa serikali umesema haki wanayo kwa sababu shitaka la nane limeshamalizika.
Mahakama Kuu imeeleza kuwa kesho ndio itatoa uamuzi wa Rufani hiyo kama isikilizwe mahakamani hapo au la.

TUPE MAONI YAKO HAPO CHINI
[MATUSI HAYARUSIWI]
Share on Google Plus
    Facebook Comment
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment