Je, Wajua? Mauzo ya Jezi ya Mchezaji POGBA Peke yake Yamesharudisha Pesa Aliyonunuliwa na Man United

Pogba aliyesajiliwa kwa pauni milioni 100 hadi sasa fedha hiyo imerudi kutokana na mauzo ya jezi yake. Tangu kuanza kuuzwa kwa jezi yake namba 6 wiki tatu za mwanzo tangu ajiunge na Man U amefikisha zaidi ya pauni milioni 200.
Ni jezi ya mchezaji gani wa kibongo unaweza kununua kwa Tsh 100,000/- ? 

Tutajie jina lake hapo chini kwenye comment box tafadhali!
TUPE MAONI YAKO HAPO CHINI
[MATUSI HAYARUSIWI]
Share on Google Plus
    Facebook Comment
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment