Mbunge wa Jimbo la Vunjo, Mh.James Mbatia.
Mbunge wa Jimbo la Vunjo, Mh. James Mbatia amethibitishwa na mahakama
kuu kuwa mbunge halali wa jimbo hilo baada ya kesi yake kuamliwa leo na
Mahakama. Kesi hiyo ya uchaguzi katika Jimbo la Vunjo ilifunguliwa na
aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo, Augustino Lyatonga Mrema.
TUPE MAONI YAKO HAPO CHINI
[MATUSI HAYARUSIWI]
[MATUSI HAYARUSIWI]
0 comments:
Post a Comment