




OMBAOMBA katikati mwa jiji la Dar es
Salaam hii leo wameonekana kumbipu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul
Makonda baada ya agizo lake alilolitoa mwishoni mwa wiki ikliyopita ya
kuwataka kuondoka mara moja maeneo ya katikati ya jiji hilo kugonga
mwamba.
Mtandao huu umefanikiwa kuwanasa ombaomba hao wakiwa katika Barabara
ya Bibi Titi Mohammed maeneo ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiomba
abiria kwenye daladala na waendesha magari madogo pasipo kujali agizo
hilo.
Na Denis Mtima/Gpl
TUPE MAONI YAKO HAPO CHINI
[MATUSI HAYARUSIWI]
[MATUSI HAYARUSIWI]
0 comments:
Post a Comment