
“Kwa sasa sisi tunaweka nguvu zetu katika Ligi Kuu kwani uwezekano wa kuwa mabingwa tunao kutokana na kuwa tumewazidi wenzetu point licha ya kuwazidi michezo kwani chochote kinaweza kutokea, kuhusu stori za upangaji wa matokeo viongozi wanapaswa wawajibishwe kama kuna ushaidi wa sauti na wanaweza kuitwa wahusika wakaeleza wazi wazi” >>> Hans Poppe
TUPE MAONI YAKO HAPO CHINI
[MATUSI HAYARUSIWI]
[MATUSI HAYARUSIWI]
0 comments:
Post a Comment