Gari Bovu Lageuka Daraja Bamaga [ +PICHAZ ]

1.Watembea kwa miguu wakipita ndani ya gari bovu.
Watembea kwa miguu wakipita ndani ya gari bovu.
2.
4
5.
6
7
8
9.Dimbwi lenye maji baada ya mvua kunyesha. Dimbwi lenye maji baada ya mvua kunyesha.
GARI bovu lililopo eneo la Bamaga, Mwenge, Dar es Salaam katika barabara inayopita mbele ya Baa ya Double Tree (zamani Angel)  limeonekana kugeuka daraja baada ya watembea kwa miguu kulitumia kuwavusha na kukwepa tope na maji yaliyojaa barabarani kutokana na mvua zinazonyesha jijini Dar
Na Denis Mtima/Gpl
TUPE MAONI YAKO HAPO CHINI
[MATUSI HAYARUSIWI]
Share on Google Plus
    Facebook Comment
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment