Waziri Prof Magembe Kasimamisha Watano, RPC Kilimanjaro Anasemaje? (+Audio)

Baada ya waziri wa maliasili na utalii Prof Jumanne Magembe kutangaza kuwasimamisha kazi Mkurugenzi msimamizi wa wanyama pori Charles Mulokozi na wengine wanne, kwa kutuhumiwa kutoa vibali vya kusafirisha wanayama pori nje ya nchi, RPC wa Kilimanjaro Wilbrod Mutafungwa kaelezea zaidi hapa. 

RPC Mutafungwa katoa maelezo ya ziada “Tumewakamata watuhumiwa wawili raia wa Uholanzi ambao wanatuhumiwa kwa kusafirisha wanyama aina ya tumbili, walikuwa wanawasafirisha kwenda Almenia” >>> RPC Wilbrod
Bonyeza play kumsikiliza zaidi RPC Wilbrod hapa
-via millardayo
TUPE MAONI YAKO HAPO CHINI
[MATUSI HAYARUSIWI]
Share on Google Plus
    Facebook Comment
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment