Mtanzania Apigwa Risasi na Kuuawa Nchini Marekani, Aporwa Gari

Marehemu Henry Kiherile enzi za uhai wake.
Ndugu Wanajumuiya,
Tunasikitika kuwataarifu juu ya mauti yaliyomkuta mwanajuiya mwenzetu hapa Houston Marehemu Henry Kiherile.

Marehemu alikumbwa na mauti na kuaga dunia juzi April/ 06/2016 usiku saa tano na nusu kwa kupigwa risasi mbili na kuporwa gari lake.
Mwili wa marehemu uko chini ya uchunguzi ukisubiri kupelekwa Funeral Home. Ndugu Wanajumuiya tutakuwa na MKUTANO kwa ajili ya huu MSIBA siku ya Ijumaa (04/08/2016) katika anuani hii hapa chini:

Anuani :
8107 Meadows Pond DR,
Missouri City, TX, 77459
Tarehe : April /08/2016 { FRIDAY }
Muda : 6 PM
Henry ni Mtanzania mwenzetu hapa Houston na ana Family members hapa.
Marehemu ni mpwa wa Lucy Tenende, na pia ni Mpwa wa Mathew Mohono.

Kwa taarifa zaidi wasiliana na:
Lennard Tenende (713) 540-6355
Lucy Tenende (832) 338-7222
Matthew Mohono (281) 804-6478
Imetolewa na : THC Spokesman Polisi wakiwasili eneo la tukio.
TUPE MAONI YAKO HAPO CHINI
[MATUSI HAYARUSIWI]
Share on Google Plus
    Facebook Comment
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment